SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Wanaume kama wanaume usijitoe sana kwao maana wao ni watu wako hivi.
1.watakuoa ili wakujue basi tu sio wakuoe kisa watatulia .
Wengine watakuoa kwa maana wanahitaji kuwa nafamilia nawanatakawasiwe naupweke na pia majukumu ya mwanamke afanye mwanamke.
Sio akupendi wala anakupenda ila sasa kabla ya kuoa alikuwa nao so sio uolewe ndio achee nope kila mwanamme anamtu wake.
So hakuna chakuwafanya watulie nope hakuna dawa hakuna namna .
Boresha familia tafuta hela .
Ili mradi umpe makavu toka njee ila ukija ndani ujue mimk mkeo maswala yakuvuka mpaka na kunidharau sipendii niheshimu tosha mengine.
Atajaza mwenyewe usiumizw kichwa kumtuliza umiza kichwa kwa watoto wako wawe na maisha safi.
Kuna mtu anampa mumewe tigo ila bado mumewe yupo nje anakujilia vipya.
Kuna mtu wakaribu alimloga mumewe akaishilia kupewa talaka .
So mwanaume akikuchague uwe ubavu wake jiongezee sio kila siku humu kulalamika lalamika kuhusu maisha yenu ya familia yako.
Mtu ni mke wa mtu umebarikiwa watoto kazania familia yako.
Wanaume ndio walivyo wao wanakupenda pale wakikumiss so ikowa time yako mshughulikie.
Sasa hushughuliki kazi kilalamika.
Nakama unashughulika ubunifu niule ule tokea muoane mpaka naleo.
Kama unataka jishughulishe upendwe.
Dawa na tigo sio inshuu ni dili potofu.
Sibure kuna mtu anasema unaloga mwanaume badala yakuloga biashara uwe na mafanikio .
# tag wanaume ni wanaume tu na sisi ni sisi tu hatutabadilika.
Kamwe.
 
Kwa hiyo unajisifia kucheza pekupeku 😂
 
Usiiruhusu nyapu iwe kavu kama wewe sio mpenzi sox hakikisha iko tepetepe na iwe imenyolewa upara ili kuzuia michiubuano.ukimwi utakuwa unaosoma kwenye mabango.bila kusahau extra virgin olive oil kama anahamu ya kutaka umsalimie jirani
 
Nime Nimekuelewa
 
Mama wewe timiza wajibu wako tu ila huwezi kuzuia hawa viumbe kuchepuka maana wao wanapenda kwa kuona hivyo akiona tofauti na alicho nacho ataingiwa na tamaa ya kuchepuka tu. Na ukiona Mwanaume hachepuki ujue hana hela
Mmmhh kivipi!
 
Mkuu Pablo Blanco kama wewe sio mpenzi wa Kondom tumia Olive oil jipake na yeye mwambie anipake ukinihisi yanaanza kukauka chomoa pakaa tena.
Alafu k zikioza mnaanza sema wanawake wanajiweka mavitu gani kumne nyie wenyewe ndo mnasababisha
 
Hehehehehehe imebidi nicheke wallah
 
Alafu k zikioza mnaanza sema wanawake wanajiweka mavitu gani kumne nyie wenyewe ndo mnasababisha
Olive oil ni dawa kwanza inaongeza joto kwa mwaname na extra lubricant kwa mwanamke pia inaua fungus halafu inaondoa uwezekano wa kuchubuana pia ni inapunguza premature ejaculation trust me maliyamtu jaribu kutumia halafu ni PM ila hakikisha unanyoa na mwenzako mnyoe ili zile nyewele zisilete tafrani.
 
Iko siku kabla sijaoa nilikapata kabinti pale igunga katoto ka kibulushi na kiarabu na kisukuma ilipokaona nikamuuliza jamaa mmoja vipi hako ka demu, jamaa akaniambia unamtaka nikasema "unaniuliza tena"

Anyway nikaendelea na shughuli zangu nikawa nimesahau kabisa,mara yule jamaa akaniijia majira ya saa moja za jioni hivi mambo yakawa braza demu nimuimbisha kakubali sasa simu yake hii haoa ongea nae tukaongea akasema aliniona ule mchana baada ya kuambiwa na yule jamaa.

Well akaniambia maelezo yote amempa yule jamaa yule jamaa akanipeleka kwenye gesti moja iko ndani ndani upande ambao leo iko stendi mpya jamaa nikamtoa mpunga wake demu akachoma ndani nilikuwa nyege za kama mwezi hivi nikaanza kumvua nguo kama nambaka vile nikauchomeka mtambo mambo yakawa hiv... "bradha mbona unaniingizia goti" ...nikamwambia tulia naada ya muda akaanza kulowana nikampelekea hisia nikamwaga kitu kizito nikamuuliza muhudumu kama ana mafuta akanitea nikapeleka moto akanipa na namba yake nami nikampa hela ya kujikimu. Uongo mbaya ningekomaa nae ningemsababisshia Fistula.
 
Kwann tusichepuke? Mtuache tuchepuke bwana
 
Kwani wanawake hawacheat? Mtazamo wangu sababu ni hulka ya mtu lakini pia wengi wakioloewa na hasa wakipata mtoto (watoto) wanampotezea kabisa mme, yaani anakuwa kama hayupo kabisa, majukumu yote anaachiwa dada wa nyumbani yaani mme anasahaulika kabisa. Kipindi hiki hata ambae hana mpango wa kuchepuka akikutana na mpango wa kando unamjali anajikuta tu ametengenezewa mazingira. Muhimu kutobweteka baada ya kuolewa
 
Hahahaha wengine hatuwezi zitoa zote hizo za huku bhana wew so hapo nakua sikidhi vigezo ee
 
Ila @ imhotep: wewe ni kiboko yani looh ni kitu gani hyo umebebesha huko hadi mtoto wa watu aseme unamuingiza goti wuuii[emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…