SWALI: Wanaume mpewe nini muache kuchepuka?

Ila @ imhotep: wewe ni kiboko yani looh ni kitu gani hyo umebebesha huko hadi mtoto wa watu aseme unamuingiza goti wuuii[emoji23] [emoji23]
Nimejaaliwa kidogo si unajua teta mkonga wa kibantu nikimpata binti ambae hajakutana na pipe size hii halafu nisitumie vasiline Fistula inaweza kumtokea.
 
Nimejaaliwa kidogo si unajua teta mkonga wa kibantu nikimpata binti ambae hajakutana na pipe size hii halafu nisitumie vasiline Fistula inaweza kumtokea.
Hahahaha wuuii hatari kabisaa hii
 
Dah... Profesa anapata taabu sana[emoji41]
 
Ungesema wanaume na wanawake wapewe nini waache kuchepuka, maana hakuna tofauti..
 
Hao wanaume tunaochepuka kwani tunaochepuka na mabinti tu au na wanawake walio single tu?
Mbona huwa tunachepuka na walioolewa pia wao wapewe nini ili wastukubali?
 
Ukiona unaishi kwa amani na mumeo ndani hakuna misuguano ya mara kwa mara jua mumeo ana mchepuko wanaume wasiokuwa na michepuko wana gumu,amini maneno yangu.
 
Usijifinge akili mbona mi nawajua jamaazangu kibao ni wazee wa klabu ila hawanunui maisha,kwanza mi nkijua unanua k cpokei Tena cmu yako
Kupokea simu na kununua k kunamahusiano gani!? Starehe ya mtu ni very personal it differ with friendship bro.
 
Extro UR RIGHT, UR ON TRACK
 
Maliyamtu, nakubaliana na wewe kwenye kipengele cha mwisho, cha kumuhimiza mwanaume kufanya maendeleo. Ila cha kwamba wanaume hawawez kujizuia SIO KWELI, Mfano mie nilipataka Mwanamke nilimpenda na niliridhika mpaka basii, kila mwanamke mwingine namuona TAKATAKA HANA CHA KUNIPA . Sikuwahi kuchepuka na tulikuwa tunafanya kazi mbalimbali. ACHA MAMBO HIYO, KAMA UMEKOSEA KUOA BASI MTUACHE TUCHEPUKE
 
1. Mzigo mpe
2. Heshima ibaki pale pale. Maana mkishakuwa na uhakika wa kupendwa sasa ndo mnajiona bila nyie hatujaishi.
3. Jiheshimuni. Siyo kila anaetaka mzigo anapewa.
4. Punguzeni kufananisha wanaume na ATM

Na mengine mengi. Ila hayo ukiyazingatia huumizwi
 
Ungemsababishia fistula kwa sababu gan labda?
 
Tunachrpuka kwa sababu mfano mke wangu ananinyima k yake kwa kutoa sababu nyingi mara nimechoka, mara cjickii. Hapo kwa nn nisiwaze kuchepuka?
Chepuka tuu, alishaga kula hela na vyombo kwenye kitchenparty amepata , mume amekupata kwann asikufanyie jeuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…