nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Wanaume wa kabila moja la kanda ya ziwa (watani zangu) wengi wana sauti nyororo/nyembamba sana, japo wanalipa. Je unalijua hilo kabila? Na wanaume wenye sauti ndogo ni wanaume wenye tabia gani? Kukupa hints wenyewe kwa wenyewe wakati mwingine wanaitana kisauti!
Umesema kanda ya ziwa, basi itakuwa WAMAKONDE hao.........
wajita, haha