Swali

usiwe unapenda kuomba omba pesa hovyo, subiri upewe
 

Blueray, hicho kiingereza mdau maneno mengine magumu kueleweka
 
nisubiri mpaka lini? asiponipa?
Nikweli mummy, hapo umelonga...nadhani hapa anataka utoke nje ya ndoa ukatafute tuu ndo lengo lake. Hakuna njia mbadala...and especially if you a wife house.
 
upendo unaotakiwa ni mwanamke kutekeleza haki za kimsingi za mwanaume,na mwanaume kutekeleza haki za msingi za mwanamke,huo ndo upendo unaostahili kwa jinsia zote

Haki za msingi za mwanaume ni zipi? Je haki hizi ziko universal au zinatofautiana baina ya mwanaume na mwanaume?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…