naomba kujuzwa,nimeoa na mke wangu ni mjamzito miez 7,je kuna athar yoyote atakayoipata mtoto pind ntakapofanya mapenz na mke wangu??je mimba ikifka umri gan tunatakiwa tusitishe tendodo la ndoa kwa afya ya mtoto!!!?na pind atakapojifungua ni muda gan tunatakiwa tusubir