pole sana chauro....pole sana
km vp mfate zungumza nae km mnaweza mkaretreat then mak t
ulimpenda sana tena sana sasa haina haja we kuumia ivo ongea nae akionekana anaonyesha kujuta kwa aliyoyafanya then mrudishe kazin bt km alikuacha kwa matusi mia na ana mahusiano mengine basi apo huna budi kuvumilia ndg yangu
kwani uyo auliyenae ana nini mpk upate chans ya kumuwaza sana uyo aliyekutenda?
zungumza nae labda anaweza aka do vile wewe unataka then km kawa labda itasaidia kukusahaulisha wa awali...inaonekana ITAKUWA HAKUPI AU HAKUKUNI KUMOYO NA KIVITENDO KM YULE... angekuwa anakushibisha raha wala usngemuwaza yule wa kwanza ..dzain anakuacha na NJAA thats y UNAKUMBUKA SHIBE ILIYOPITA....zungumza nae mwambie na umwelezee wewe mpk ushbe vitu gan vnatakiwa...
pole