ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
ndugu yangu wewe upo ki-peke yako.....wengine huwa risasi ikitoka hairudi bundukini....inaelekea ulie nae hajakukolea....polepole utazoea
Kuna umuhimu wa kumwomba Bibi yangu akutafutie msuli..... yote yatakwisha
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
pole sana chauro....pole sana
km vp mfate zungumza nae km mnaweza mkaretreat then mak t
ulimpenda sana tena sana sasa haina haja we kuumia ivo ongea nae akionekana anaonyesha kujuta kwa aliyoyafanya then mrudishe kazin bt km alikuacha kwa matusi mia na ana mahusiano mengine basi apo huna budi kuvumilia ndg yangu
kwani uyo auliyenae ana nini mpk upate chans ya kumuwaza sana uyo aliyekutenda?
zungumza nae labda anaweza aka do vile wewe unataka then km kawa labda itasaidia kukusahaulisha wa awali...inaonekana ITAKUWA HAKUPI AU HAKUKUNI KUMOYO NA KIVITENDO KM YULE... angekuwa anakushibisha raha wala usngemuwaza yule wa kwanza ..dzain anakuacha na NJAA thats y UNAKUMBUKA SHIBE ILIYOPITA....zungumza nae mwambie na umwelezee wewe mpk ushbe vitu gan vnatakiwa...
pole
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
tangulia nakuja..uwe na panadol pia if nt ambulance nje cz u wl....gudmorning!!!!!!!Nitafute basi nikuambie tukiwa ndani.....
km ni vo basi shughuli ni fup sananimekupata rose sio kwamba huyu hajui anaweza na anajali sana tu na najitahidi kweli hata kupiga simu na msg kama hatuko wote lakini bado tu huyu tuliyeachana anakuja kwenye kichwa changu nachanganyikiwa sana sitaki kumuumiza huyu maana usiyotaka ufanyiwe usimfanyie mwezako halafu nahisi kama sipendi tena wakati mwingine nipo tu
ndugu yangu wewe upo ki-peke yako.....wengine huwa risasi ikitoka hairudi bundukini....inaelekea ulie nae hajakukolea....polepole utazoea