km ni vo basi shughuli ni fup sana
mwte zungumza nae
ustake kupata mateso wakati suluhisho lipo
tok to him/her usijidanganye uliye nae sasa haumpend.period.
rud kwa yule kwa amani na furaha ..km kukosa kila mtu anakosa
mpe chansi msamehe mliendeleze mlpoishia......
Alipokukosea hukumpatia nafasi ya kujirekebisha. Sasa unawaza kwamba pengine ungemsamehe na kumpa nafasi ya pili huenda angejirekebisha vizuri sana. Kosa ulilofanya tena ni kufanya maamuzi haraka na bila kumpatia nafasi ya kujirekebisha.
ulikua na mapenzi ya dhati kwa mtu huyo, ulimwanacha angali unampenda! itakuchukua muda kumsahau na hii yataka juhudi zako mwenyewe kumfuta akilini
unajua hapa kuna watu ambao hawajui msamaha nini wao ni vinyongo tu kosea wewe wao ahaa wako sawa wakati wote sasa inakuwa ngumu kweli halafu unampenda ntu wa namna hii
hahahah hahah !! kaz kweli kweli!Mimi juzi tu nimemwacha mtu lakini kamoyo kanamkumbukakumbuka ila najitahidi kupotezea ila kwa sasa nipo"SINGLE":tonguez:
tangulia nakuja..uwe na panadol pia if nt ambulance nje cz u wl....gudmorning!!!!!!!
Asprin, thats my name........... pain killer. I will kill all your pains whatsoever.... twenzetu PM tukakamilishe logistics!
:closed_2::closed_2::closed_2::A S 103::A S 103:
haswaa mom umenipata yule mtu ambae hata afanyeje unakuwa tayari kusamehe tu unaona kama ataelewa tu kumbe anakutumia tu
aisee nafikiri naumwa mii ni HEE bwana
aisee nafikiri naumwa mii ni HEE bwana
whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat:A S 13::A S 13:
wansema to love is only once, kwamba ni mmoja tu utakaye mpenda kwa dhati na wengine ni mazoea na uzushi tu. na true love ni kusamehe kuforget, yaani no matter anakutendea mabaya utampenda tu.
whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaat:A S 13::A S 13:
ivi watu wote huwa tunapenda kama mimi hata ukijaribu kumfuta kwenye akili masaa machache tena anakuwepo japo tumeachana na nipo kwenye penzi jingine halafu ukifikir sana mtu huyo huyo ameshakutenda ajabu lakini moyo wako bado upo kwake toeni uzoefu wenu tafadhali nipate kutulia
Huyo mwanamke amekubikiri.
Yaani umeshindwa kabisa kumsahau.
Hata mimi ilinitokea, ilikuwa ngumu kufuta akilini mwangu zile moments nilizo share na mwanamke wangu wa kwanza
Huyo mwanamke amekubikiri.
Yaani umeshindwa kabisa kumsahau.
Hata mimi ilinitokea, ilikuwa ngumu kufuta akilini mwangu zile moments nilizo share na mwanamke wangu wa kwanza
Poole ndugu yangu, hiyo inatokea sana ila inategemea anajirudia mawazoni mwako kivipi? kwasababu mimi niliachana na mpenzi wangu wa zamani karibu miaka mitatu sasa, but kila wakati huwa ninamfikiria kwamba ni kwanini nilichelewa kumuacha yule mjinga na sikuungana mapema zaidi na huyu niliyenaye?:blah:
aisee nafikiri naumwa mii ni HEE bwana