Wana JF, nashukuru kwa majibu mazurina yanayotoa changamoto. Kutokana na majibu yaliyotolewa kwa swalilangu, nami nimepata cha kusema baada yakusikia hojazenu. Tukumbuke Tanzania ni zao la nchi mbili, ambazo ziliungana na kuzaa jamhuri YA Tanzania. Pia nchi hizo zilizoungana haziitwi Tanzania bali zilikuwa na majina yake.
Hivyo basi, Tukisema ni JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Tunamaanisha kuwa kuna nchi zilizoungana na kutengeneza Tanzania, lakini pia nchi hizo zilikuwa zikiitwa Tanzania [ MUUNGANO WA TANZANIA] na;
Tukisema jamhuri ya muungano ya Tanzania, tunamaanisha kuwa iko nchi ambayo ni JAMHURI, NCHI HIYO IMETOKANA NA MUUNGANO WA NCHI FURANI, NA NCHI HIYO AMBAYO NI JAMHURI INAITWA TANZANIA [JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA ]