oscarmwnk Member Joined Aug 13, 2015 Posts 7 Reaction score 1 Sep 3, 2015 #1 Hivi rais inawezekana kumpigia kura mahali popote? Mana nlijiandikisha huko njombe na sasa npo singida kikaz
Hivi rais inawezekana kumpigia kura mahali popote? Mana nlijiandikisha huko njombe na sasa npo singida kikaz
Walter Delta Force Member Joined Aug 8, 2015 Posts 7 Reaction score 0 Sep 3, 2015 #2 oscarmwnk said: Hivi rais inawezekana kumpigia kura mahali popote? Mana nlijiandikisha huko njombe na sasa npo singida kikaz Click to expand... Yes inawezekana
oscarmwnk said: Hivi rais inawezekana kumpigia kura mahali popote? Mana nlijiandikisha huko njombe na sasa npo singida kikaz Click to expand... Yes inawezekana
kantalambazi JF-Expert Member Joined Oct 19, 2012 Posts 2,011 Reaction score 650 Sep 19, 2015 #3 Ni sahihi kisheria kwa chama hasimu kutumia kauli mbiu ya chama kingine kwenye campaign za uchaguzi endapo hiyo kauli ya hicho chama kingine imetumika kwa mda mrefu na imezoeleka na wanachama wake?
Ni sahihi kisheria kwa chama hasimu kutumia kauli mbiu ya chama kingine kwenye campaign za uchaguzi endapo hiyo kauli ya hicho chama kingine imetumika kwa mda mrefu na imezoeleka na wanachama wake?