Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FirstLady1;:becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky::becky: no comment
nadhani akishtuka usingizini atakuta daladala kibao zimeshapaki. Teh teh teh!Huyu si yule babu pale Bamaga petrol station, anashinda kutwa kuzuia daladala zisipaki kwenye njia ya kwendea petrol station pale hahahahahaha
...Na kwa jinsi anavyojishughulisha pale kuelekeza magari lazima achoke. Makonda wa daladala walimpachika jina "msukule" wa waarabu wenye kituo cha mafuta ndio anayewaletea wateja...:becky::becky:Huyu si yule babu pale Bamaga petrol station, anashinda kutwa kuzuia daladala zisipaki kwenye njia ya kwendea petrol station pale hahahahahaha
Mbona ana sura kama yaTido Muhando? Ni ndugu yake nini?
Utambulisho wowote kuwa kafunga na muislamu?
Sio kweli huyu hajafunga mbona kuna chupa tupu ya pespi pembeni? amechoka ama ni yale yale ya uzembe kazini!!
Usifanye mchezo na HAMIRA LA MAMA NTILIE