SWEDEN: vipande vya nyama ya nguruwe vimewekwa ndani ya quran kadhaa huko katika chuo cha Linnaeus

Watoto wa mnyaazi mungu hawata waacha salama hao watu waliofanya hivyo wakae macho tuu πŸ˜†
 
Unawachokoza msije kuwaita magadi ,ni mara nyingi sana naona mtu kachana Qur an na sio bible.

Dini ni nzuri ila uchokozi sio mzuri kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…