A.AL3IKUM. WANDUgu. KARIBUNI KATIKA HOTELI MPYA INAYOITWA SWEET BITE ILIYOKO ARUSHA KARIBU NA STENDI KUU YA MKOA. Kuna vyakula vya aina tofauti*tofauti.wale wakazi wa arusha mnakaribishwa sana na wageni pia nakaribishwa sana. Pia 2napokea oda za maofisin.Karibuni sana!!!!
A.AL3IKUM. WANDUgu. KARIBUNI KATIKA HOTELI MPYA INAYOITWA SWEET BITE ILIYOKO ARUSHA KARIBU NA STENDI KUU YA MKOA. Kuna vyakula vya aina tofauti*tofauti.wale wakazi wa arusha mnakaribishwa sana na wageni pia nakaribishwa sana. Pia 2napokea oda za maofisin.Karibuni sana!!!!
Wadau simaanishi hotel ya kulala. Ni sehemu ya kula chakula,chai, chakula cha mchana, na jioni. Nafkiri mushanfahamu!!!
Ok unajua lugha zinapisha watanzania 2mezoea kusema hotel. Utasikia hotel flani chakula chao kizuri sna!! Sasa pia 2anze kuwarekesha w2 2sio wajua. Ni maoni 2.
Hii ni restaurant basi au mgahawa.... Ukisema hotel moja kwa moja mtu anapata picha ya malazi na chakula na huduma nyingine ndugu.Wadau simaanishi hotel ya kulala. Ni sehemu ya kula chakula,chai, chakula cha mchana, na jioni. Nafkiri mushanfahamu!!!
Tunashukuru sana weekend hii tutakuwa hapo,Preta na PJ jiandaeni