Sweetcorn (mahindi ya njano)

Mmlove

New Member
Joined
Mar 14, 2021
Posts
1
Reaction score
0
Habari wapendwa,

Mwenyewe utaalamu kidogo wa mahindi ya njano(sweet corn)

Ningeomba kujua jinsi ya kulilima hapa Tanzania, na je linaweza kustawi Tanzania

Asanteni
 
Habari wapendwa,

Mwenyewe utaalamu kidogo wa mahindi ya njano(sweet corn)

Ningeomba kujua jinsi ya kulilima hapa Tanzania, na je linaweza kustawi Tanzania

Asanteni
Mbona yanalimwa kila sehemu isipokuwa ukuaji na ustawi wake si wa kasi km mahindi meupe. Mahindi ya njano yanahitaji matunzo sana na hata production per Ha ni chini kuliko mahindi meupe japo bei yake mara nyingi huwa ipo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…