mimi binafsi naogopa sana TZ tunapoelekea kuhusu udini..cha muhim tusiingizwe kwenye siasa za western countries na udini..leo mmarekani anampinga afghanstan na talleban ambae anamuita terrorist lakini ndo huyo alimuezesha kinguvu za kijeshi wakati wa kuibomoa soviet union....
iran na USA hawapatani lakini iran huyohuyo anafanya biashara na Russia...
USA ame force nchi za Africa kuingiza terrorst Legislation katika nchi zao, ambazo kweli zinalinda maslahi yao
hebu niambieni maana ya Terrorist ni ipi?
je terrorist ni yule ambae ni anti USA?
First of all, huhitaji uanachama ili kuwa observer.Ukifutilia elimu inayotolewa na thread hii kutoka kwa watu mbalimbali utagundua hawa watu tayari wanahudhuria kama observers bila ya kuwa wanachama.Wanachotaka sasa ni kuwa wanachama kamili ili watoke katika status ya observers na kuweza ku influence policy.
Kuruhusu non-african states au non state organisations kutafungua a can of worms ambayo italeta matatizo mengi kuliko itakayofungua.
Hivi EU kuna non-European state member? hata baadhi ya European states hazijapata uanachama.Kama tunataka chombo serious tuiache katiba kama ilivyo, with membership to African states only.
Otherwise kama tunataka zoo turuhusu haya mabadiliko, hata mimi na familia yangu tuta apply membership tuwe na sauti, si kutakuwa na precedent bwana?
It is my hope that the Holy See appoints a permanent representative to the AU who should attend all the meetings whenever they take place and who could keep in personal contact with the Catholic members of that important institution,- Archbishop Souraphiel said.
-This special representative preferably would have diplomatic credentials comparable to the one of an Apostolic Nuncio,- he explained. .
The idea received the support of the bishops of Southern Africa. The Southern Africa Bishops' Conference would like to endorse Archbishop Berhaneyesus Souraphiel's (Addis Ababa) suggestion that a full time Catholic permanent representative be appointed to the African Union, with more than simply observer status,- Auxiliary Bishop Barry Wood of Durban told the Synod.
Archbishop Souraphiel said that a Catholic representative could be appointed to the AU to be fully committed and available for his mission in such a way that he may attend the meetings and meet the persons who have key influence in the decision making process.
Mh Zitto,
Nisingedhani hilo la Askofu lingekuwa la ajabu kwa mtu kama wewe to the extent ya kudemand explanation! - Afterall yeye ni askofu wa kikristo, na pia nadhani anaisemea Africa nzima. Naamini kuwa ma Immam wengi tu wanashinda kuusema ukristo actually hata mwongozo wa waislam unaongea sana kuhusu ubaya wa ukistro! Why make a big fuss about the presentation ya Askofu. Let serious politicians do clean politics! Hivi leo na kesho akiibuka Kakobe, Gamanya, Sheikh Ponda na wenzao na statements kama hizi tutademand explanation toka kwao!
Semenya nadhani bado kuna jambo haliko sawa hapa mzee .
Shura ya Maimamu said:Katika dimbwi hili la huzuni, bado Waislam wanaandamwa na propaganda kila uchao kuwa nchi hii inafuata katiba na mtu habaguliwi kwa dini yake na kuwa misingi ya haki, usawa na umoja iliwekwa na Baba wa Taifa. Haya yakiendelezwa huku nchi nzima iko mikononi mwa Kanisa Katoliki na fursa zote zimeshikiliwa na Wakristo. Kama hizo fursa walizonazo leo hazitoshi Kanisa Katoliki sasa wanataka kwa dhahiri kabisa kuigeuza Tanzania kuwa ni Jamuhuri ya kikristo.
Askofu Mtega said:We love Moslems. It is our history and culture to live with them. But the danger which threatens Africa's freedom, sovereignty, democracy and human rights is first the Islamic political factor, i.e., the intended plan and the clear process of `identifying Islam with politics and vice versa' in each of our African countries. Secondly it is the Islamic monetary factor whereby huge sums of money from outside countries is being poured in our countries to destabilize peace in our countries and to eradicate Christianity.
Sasa hapa mbaya ya baba Askofu iko wapi?
From what I know, conservative Islam iko na zero tolerance kwa watu wasiokuwa waislam!! yaani "wanazuia kutoa mimba kwa sababu kubwa na nzuri tu, kwamba mwenye Umungu na Uumbaji ni Mungu tu na hakuna mwingine!! lakini kitabu hicho hicho kinaruhusu mtu kuua mtu mzima na akili yake ati kwa sababu ni Kafri!! yaani mimba usitoe lakini akisha zaliwa hakawa si mwislmu hana haki ya kuishi!! jiripue kwa bomu na waue unavyoweza!! The bigger the number of dead the bigger the promotion with allah!!
Kosa la baba Askofu ni lipi kama mtu ana mafuta analeta hela kusaidia kupunguza makafri kwa kuwaua ebu kamuulize, sasa hawa watu kudistabilaze serikali zisisokuwa za kiislamu hawana shida kwao hizi ni serikali za "makafri" the unfortunate thing is not so!! yaani watu wote wako sawa na wanahaki ya kuishi !! Mimi sijaona alikokosea Baba askofu!! hayo ya kuzuia maaskofu wasitoe waraka au masheik mimi nafikiri ni kwa watu wenye akili ndogo!! maana la msingi ni kudeal na root of the problem!! kama kinachosemwa je kina ukweli na je tunajisahihishaje??
It is not a question of the Pope or Cardinal,"You can cheat people for the time but you cannot cheat all the people or the time" the earier the better, yaani tuambizane ukweli so long as ni constructive, wacha huu upuzi ati ""His Lordship the Bishop ana makosa.!!!!!!!kwa kutoa paper ya ukweli.
Sichukui kipande cha hotuba na kumake opinion. Nadhani kipande kile ni muhimu na kinasema mambo mengi sana katika hotuba ya Baba Askofu Mtega. Sitaki kuhukumu. Napenda kujua maana pana ya alichosema.
Wasiwasi wangu ni kwamba mbegu ya kutoamianiana kati ya Waislam na Wakristo nchini imeanza kumea na tusipokuwa makini itachanua na matunda yake ni HATARI.
Mkutano (Synod) wa maaskofu wa Kikatoliki kutoka Africa ulioitishwa na Papa Benedict XVI unaendelea huko Vatican kwenye makao makuu ya kanisa hilo. Maaskofu kadhaa wamekuwa wakitoa kauli au nyaraka nzito zinazochangamkiwa na waandishi wengi duniani wakati waandishi wa nchini Tanzania ni kama vile tukio hilo halipo.
Moja ya waraka ambao umesomwa duniani kote ni nia ya maaskofu wakatoliki kupata kiti cha ujumbe katika Umja wa Africa (AU) kama vile Vatican ilivyo mjumbe katika umoja wa Mataifa.
Wale wenzetu wenye kupenda kukimbilia hoja ya "kulinda umoja wa kitaifa" sijui sasa watasemaje maana hizi hoja zinatolewa huko Roma au Vatican ambako dunia yote inangalia kila kinachotamkwa. Labda sasa waje na hoja ya kusema "kulinda umoja wa kidunia" maana kilichotajwa ni bara zima la Africa.
Balatanda,
Anza kupunguza wewe kwanza ..ndio useme wengine...kwahiyo..ndio wapewe uwakilishi kwenye political organ (AU)?? does it make sense?
Hayo yote ulioweka kuna dini zingine nazo zina shule na universities kibao....after all tukianza kujadili hapa source of income ya hizo services ni "TRA" meaning kodi za kila mtu hata mimi utasema udini kwasababu "UKO PROGRAMMED"
kwako wewe udini ni kama ukiwa na mtazamo nje ya askofu lakini pro-askofu siyo udini...kazi kwelikweli...
The AU charter says this about membership
Sasa hao wa Vatican / Holy See wataomba membership kwa minajili gani wakati wao si African state?
First of all, huhitaji uanachama ili kuwa observer.Ukifutilia elimu inayotolewa na thread hii kutoka kwa watu mbalimbali utagundua hawa watu tayari wanahudhuria kama observers bila ya kuwa wanachama.Wanachotaka sasa ni kuwa wanachama kamili ili watoke katika status ya observers na kuweza ku influence policy.
Kuruhusu non-african states au non state organisations kutafungua a can of worms ambayo italeta matatizo mengi kuliko itakayofungua.
Hivi EU kuna non-European state member? hata baadhi ya European states hazijapata uanachama.Kama tunataka chombo serious tuiache katiba kama ilivyo, with membership to African states only.
Otherwise kama tunataka zoo turuhusu haya mabadiliko, hata mimi na familia yangu tuta apply membership tuwe na sauti, si kutakuwa na precedent bwana?
subiri wajenge na walete hoja zaoThe AU charter says this about membership
Sasa hao wa Vatican / Holy See wataomba membership kwa minajili gani wakati wao si African state?