Elections 2010 Synovate na redet utafiti wao uheshimiwe kwani ni kweli CCM bado ni chama kinachong’a

Elections 2010 Synovate na redet utafiti wao uheshimiwe kwani ni kweli CCM bado ni chama kinachong’a

dadakuona

Member
Joined
Sep 4, 2010
Posts
22
Reaction score
0


Kukubalika kwa CCM kuna sababu kuu tatu

  1. Chama kina sera nzuri
  2. Mgombea wake anakubalika na ana mvuto
  3. Kimuundo na historia ya kutetea wanyonge na kuleta maendeleo.

Sera za CCM ni zile ambazo zinaangalia matatizo ya jamii kama vile kutatua kero za barabara, shule , maji, umeme, ajira na ustawi wa jamii kwa ujumla. Hiyo huwezi kuikuta kwenye chama chochote.

Nikimwaangalia mgombea wa CCM kama vile padri, shehe, mchungaji, imamu , au mwanaharakati ambaye anaumizwa na matatizo ya wanajamii wanaomzunguka ametawaliwa na upendo, uvumulivu, subira, saburi, na shauku ya kuwasaidia wengine.

Kimuundo Chama cha Mapinduzi kina mtandao mkubwa kuliko mtandao wowote Tanzania si Vodacom, Tigo, Zain, Zantel, au TTCL yote hakuna mtandao kama CCM amabao unapatikana kuanzia ngazi ya chumba kwa chumba, shina kwa shina, mtaa kwa mtaa, Kata , wilaya, Mkoa , Taifa na sasa Kimataifa kina matawi Uingereza , Marekani . South Africa n.k. Hivyo Synovate na Redet utafiti wao uheshimiwe kwani CCM ina sababu nyingi ya kukubalika.
 
Kukubalika kwa CCM kuna sababu kuu tatu

  1. Chama kina sera nzuri
  2. Mgombea wake anakubalika na ana mvuto
  3. Kimuundo na historia ya kutetea wanyonge na kuleta maendeleo.

Sera za CCM ni zile ambazo zinaangalia matatizo ya jamii kama vile kutatua kero za barabara, shule , maji, umeme, ajira na ustawi wa jamii kwa ujumla. Hiyo huwezi kuikuta kwenye chama chochote.

Nikimwaangalia mgombea wa CCM kama vile padri, shehe, mchungaji, imamu , au mwanaharakati ambaye anaumizwa na matatizo ya wanajamii wanaomzunguka ametawaliwa na upendo, uvumulivu, subira, saburi, na shauku ya kuwasaidia wengine.

Kimuundo Chama cha Mapinduzi kina mtandao mkubwa kuliko mtandao wowote Tanzania si Vodacom, Tigo, Zain, Zantel, au TTCL yote hakuna mtandao kama CCM amabao unapatikana kuanzia ngazi ya chumba kwa chumba, shina kwa shina, mtaa kwa mtaa, Kata , wilaya, Mkoa , Taifa na sasa Kimataifa kina matawi Uingereza , Marekani . South Africa n.k. Hivyo Synovate na Redet utafiti wao uheshimiwe kwani CCM ina sababu nyingi ya kukubalika.
Yaani ninyi watanzania hasa wewe dadakuona ufahamu wako ni mdogo sana. Pengine uelewi uovu wa CCM. Mimi si mnafiki nimefanya kazi serikalini nakuhakikishia kabisa watu wachache wanaOfaidika na ouvu wa ccm ndo mashabiki wake wakubwa. Lakini mtu yoyote anayechukia Uovu kamwe hawezi kusupport CCM.
 
Back
Top Bottom