Elections 2010 Synovet na REDET, fanyieni utafiti hili

QUALITY

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2010
Posts
853
Reaction score
115
"wataalamu wa utafiti nchini tanzania" Synovet na REDET, fanyieni utafiti hili suala la wananchi waliojiandikisha kutojitokeza kupiga kura. Imeonekena kuwa karibia waliopiga kura nchi nzima ni wachache sana ukilingnisha na wale waliojiandikisha. katika baadhi ya maeneo, idadi ya waliopiga kura ni 30% wakati sehemu nyingine ni 60%. Sababu hasa ni nini? Tunaomba majibu yaje bila kuchakachuliwa.
Ahsante
 
Utafiti wao hautaaminika na wananchi milele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…