Josaje Mtui
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 2,461
- 2,158
Duh!iko poa joWazi jo buda(asante mkuu).Kaa umedai(kama umetaka) kung'am(kujua) sheng,jiseti kiusystem kaa stude(keti kama mwanafunzi shuleni),sidai umauru(sitaki utukutu)!Word of the day-(Sheng-Kiswa)-Kusing'aing'a,maana yake ni;ku'stagger',baada ya kunywa pombe.Kwa mfano,Morio wa mine(rafiki yangu) jana alising'aing'a mbaya na alikuwa amechapa(amebugia) konyagi jamo(moja) tu!.
Wazi mzeiya lakini unadai kufunzwa sheng saa hii?Jo ni 2AM morio!Hii gidhaa ni ya madogi,madingo na mambang'a tu tulia budaboss,masaa ya daro ni mchana bana.mim nimraiya wa Tz nalove sana hii but apo sija kuelewa vienye umebonga embu nifundishe mazee
kuna Drama moja ya kikenya imenemiwa jina Isabella kuna mzeiya na manzii ake huwa wanabonga kisheng namaindi sana vile wanabonga ila mengine si understand kama hapo mzeiya umeandika sijakusomaa mazeiya ila baadhi ya words nimekuelewaWazi mzeiya lakini unadai kufunzwa sheng saa hii?Jo ni 2AM morio!Hii gidhaa ni ya madogi,madingo na mambang'a tu tulia budaboss,masaa ya daro ni mchana bana.
Naona wafuasi ni kibao. Umeliamsha eeh?Naona wakenya mmekutana hapa....
maana mnavyo_flow hiyo ya kuitwa sheng ni hatari...
by the way, i love the way you pronouns the words i meant all the way muongeavyo....
nipo sana tu boss wanguYupo wapi falcon mombasa, siku nyingi sijamuona jf!
Safi kabisa, hali vipi budaboss? Siku mob jo. Au ndo uliangukiaga kijackpot?nipo sana tu boss wangu
chonjo mbaya budaSafi kabisa, hali vipi budaboss? Siku mob jo. Au ndo uliangukiaga kijackpot?
Hapo sawa. Shughuli ndo niga this days. Au biashara ulilengana nayo ukajoin kundi haramu? Ukijifanya mjanjez utajipata usiku wa manane airport na hautarushwa Canada! 😀chonjo mbaya buda
Hapo sawa mtu nguyaz!Duh!iko poa jo