T.H.T watua bongo kutoka kwa OBAMA.,yoo

T.H.T watua bongo kutoka kwa OBAMA.,yoo

Greater thinker

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2011
Posts
286
Reaction score
38
Baada ya miez kadhaa nyuma kupta ambapo wlidondokewa na shavu la kuaalikwa na Mfalme wa R&B nchn marekan..
Wasanii hao pia kutoka kwny nyumba ya vipaji Tanzania wametua nchini leo saa chache zilizopta waktokea nchin marekan kupga show kwny sherehe ya kumkabdhi tunzo mke wa rais wa zamani nchn humo G.W.BUSH bibie L.BUSH..
Katkb haflb hyo T.H.T walipata kukutana na viongoz,wanamicho ngul na wasanii mbali mbali kutoka pande mbalimbali za dunia akiwemo pia nguli wa muziki barani Afrika Angelique Kidjo...
Baadhi ya wasanii hao wa T.H.T waliongukiwa na bahat hyo ni hit maker wa 'Milele daima' barnaba,Jack(huyu anaepga jingle za cloudc fm km tupaa maweee,rediiiooo yaaa watuuuu),ndege mnana linah sanga,na Dogo ditto anaetamba nb kbao chake cha tushukuru kwa yote ...
Haya ni mafanikio makubwa katka anga ya muzik nchn Tanzania..
Big up T.H.T
Big up Ruge Mutahaba...
 
Mmetumwa na Ruge.....mwambie zamu hii kwa Sugu hutoki.
 
I wish wangefanya kama King Kikii na kupiga shows za kufa mtu states
 
hi hi.....mwaka unaisha ujue......
na kuna huyo mwenzio amefuatia kupost hapo...mfikishie ujumbe mwambie mwaka unaisha.....
Aisee najua najua kabisa this time acha tu...yaani this time usinipimie kabisa......lol
 
Hongereni wasanii wa THT.... bigup clouds entertainment , muacheni sugu na wahuni wenzake wa ki diss kila msanii... huku wakitoa album za matusi mtaani loser sikuzote atabaki loser ..
 
mwenye link ambayo naweza pata audio music ya angelique kidjo anipatie tafadhali
 
wameenda kwenye ishu ya malaria rugay kawapeleka kama chambo tu wmerudi wanaishia kwenye vyumba vya kupanga sinza kama kuna msanii mwenye nyumba hapo mtaje wanahali ngumu rugay yeye anakula gud time masaki huku kawapeleka kama wasanii yatima. Tatizo hawataki tuendelee(tht)
 
Baada ya miez kadhaa nyuma kupta ambapo wlidondokewa na shavu la kuaalikwa na Mfalme wa R&B nchn marekan..
Wasanii hao pia kutoka kwny nyumba ya vipaji Tanzania wametua nchini leo saa chache zilizopta waktokea nchin marekan kupga show kwny sherehe ya kumkabdhi tunzo mke wa rais wa zamani nchn humo G.W.BUSH bibie L.BUSH..
Katkb haflb hyo T.H.T walipata kukutana na viongoz,wanamicho ngul na wasanii mbali mbali kutoka pande mbalimbali za dunia akiwemo pia nguli wa muziki barani Afrika Angelina Kidjo...
Baadhi ya wasanii hao wa T.H.T waliongukiwa na bahat hyo ni hit maker wa 'Milele daima' barnaba,Jack(huyu anaepga jingle za cloudc fm km tupaa maweee,rediiiooo yaaa watuuuu),ndege mnana linah sanga,na Dogo ditto anaetamba nb kbao chake cha tushukuru kwa yote ...
Haya ni mafanikio makubwa katka anga ya muzik nchn Tanzania..
Big up T.H.T
Big up Ruge Mutahaba...
please edit that to Angelique Kidjo...
 
Baada ya miez kadhaa nyuma kupta ambapo wlidondokewa na shavu la kuaalikwa na Mfalme wa R&B nchn marekan..
Wasanii hao pia kutoka kwny nyumba ya vipaji Tanzania wametua nchini leo saa chache zilizopta waktokea nchin marekan kupga show kwny sherehe ya kumkabdhi tunzo mke wa rais wa zamani nchn humo G.W.BUSH bibie L.BUSH..
Katkb haflb hyo T.H.T walipata kukutana na viongoz,wanamicho ngul na wasanii mbali mbali kutoka pande mbalimbali za dunia akiwemo pia nguli wa muziki barani Afrika Angelique Kidjo...
Baadhi ya wasanii hao wa T.H.T waliongukiwa na bahat hyo ni hit maker wa 'Milele daima' barnaba,Jack(huyu anaepga jingle za cloudc fm km tupaa maweee,rediiiooo yaaa watuuuu),ndege mnana linah sanga,na Dogo ditto anaetamba nb kbao chake cha tushukuru kwa yote ...
Haya ni mafanikio makubwa katka anga ya muzik nchn Tanzania..
Big up T.H.T
Big up Ruge Mutahaba...

Mkuu heshima mbele!!
Samahani kama nitakuwa na kukwaza ila nimefuatilia mabandiko yako hapa jamvini,naona uandishi wako unakatisha maneno kama unatuma ujumbe wa simu.
Naomba jitahidi kuandika vizuri maana wengi tunasoma kujifunza au kupata habari, Pia ukiwa unaandika majina ya watu au mahali jaribu kuandika kwa ufasaha.
Mwisho naomba kabla ya kupost kitu fanya uchunguzi kidogo maana kuna habari nyingine unaandika ni za uongo.

Amani iwe nawe.
 
Baada ya miez kadhaa nyuma kupta ambapo wlidondokewa na shavu la kuaalikwa na Mfalme wa R&B nchn marekan..
Wasanii hao pia kutoka kwny nyumba ya vipaji Tanzania wametua nchini leo saa chache zilizopta waktokea nchin marekan kupga show kwny sherehe ya kumkabdhi tunzo mke wa rais wa zamani nchn humo G.W.BUSH bibie L.BUSH..
Katkb haflb hyo T.H.T walipata kukutana na viongoz,wanamicho ngul na wasanii mbali mbali kutoka pande mbalimbali za dunia akiwemo pia nguli wa muziki barani Afrika Angelique Kidjo...
Baadhi ya wasanii hao wa T.H.T waliongukiwa na bahat hyo ni hit maker wa 'Milele daima' barnaba,Jack(huyu anaepga jingle za cloudc fm km tupaa maweee,rediiiooo yaaa watuuuu),ndege mnana linah sanga,na Dogo ditto anaetamba nb kbao chake cha tushukuru kwa yote ...
Haya ni mafanikio makubwa katka anga ya muzik nchn Tanzania..
Big up T.H.T
Big up Ruge Mutahaba...

Mkuu, mwandiko wako unasadifu kua wewe si GREAT THINKER, May be GREAT SINKER..! Tumezoea kuona sampaly hizo kule kwenye mtandao wa wanafunzi FB! Hata kama unatumia "mobile" so-kiivo, unaboa sana!
 
Back
Top Bottom