wameita watu lini? au hizi nafas zinazotangazwa ni geresha? kigogo uko serious?wameshaajiri
wameita watu lini? au hizi nafas zinazotangazwa ni geresha? kigogo uko serious?
wameita watu lini? au hizi nafas zinazotangazwa ni geresha? kigogo uko serious?
NDUGU YANGU NAFASI BADO HATA SHORTLISTING HAIJAFANYIKA. KUMBUKA DEADLINE ILIKUWA 16/12/11 WEEK MOJA BAADAE IKIWA NI WEEK YA MAANDALIZI YA XMAS, kwa hiyo wadau wengi walikuwa wako likizo......bila shaka kuanzia week hii kazi ya uchambuzi itaanza
we unaelewa unachoongea au unabwabwaja tu...mi ndo HRM hapa sasa unataka kufanyia shortlisting watu kwenye bar yako au
u dont deserve kuwa HR.., hata kama ungekuwa HR usingethubutu kutoa kauli kama hiyo jukwaan kweupeei......, kweli fani ya u ' HR' imeingiliwa.... damn ....!