FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 448
- 409
Mimi ni miongoni mwa mashabiki wenu,Mara ya kwanza nimewaona mwaka 1992,ktk ukumbi wa Urambo hotel-urambo kiingilio kikiwa tsh.500 watoto na tsh1000 wakubwa,Kopa ulikuwepo hata hayati kapt Komba aliimba na mlikuwa na kikundi cha sarakasi,nyoka aina ya chatu na taarabu
Pia nikawaona mwaka 1995 Tabora kwenye kampeni,Kopa ulikuwa ndani ya truck suite ya njano na wengineyo akina marehemu Banza.
Ktk mapokezi ya Dreamer sauti ilikuwa haisikiki vizuri,Vyombo havichuji mapigo ya mziki kabisa japo waimbaji mliimba vizuri
Uchangiaji wa maiki,nyie ndio jogoo wa Afrika Mashariki na kati hilo halina ubishi mpaka nje hukodiwa,Waswahili wanasema ukikaa na waridi lazima unukie,kwanini hamumuombi Anko Magu awanunulie maiki za kisaza zinazochuja sauti kwa ubora wa Kimataifa kama Mutukuzi au band za Afrika Kusini?kwanini mchangie maiki?
Nb:Anzisheni website au tovuti,muweke Picha tuone historia za wanamuziki wenu labda alikuwa band hii akahama akaingia hapa na Picha zenu,in ngumu kuwajua kwa sisi washabiki wenu.
Pia nikawaona mwaka 1995 Tabora kwenye kampeni,Kopa ulikuwa ndani ya truck suite ya njano na wengineyo akina marehemu Banza.
Ktk mapokezi ya Dreamer sauti ilikuwa haisikiki vizuri,Vyombo havichuji mapigo ya mziki kabisa japo waimbaji mliimba vizuri
Uchangiaji wa maiki,nyie ndio jogoo wa Afrika Mashariki na kati hilo halina ubishi mpaka nje hukodiwa,Waswahili wanasema ukikaa na waridi lazima unukie,kwanini hamumuombi Anko Magu awanunulie maiki za kisaza zinazochuja sauti kwa ubora wa Kimataifa kama Mutukuzi au band za Afrika Kusini?kwanini mchangie maiki?
Nb:Anzisheni website au tovuti,muweke Picha tuone historia za wanamuziki wenu labda alikuwa band hii akahama akaingia hapa na Picha zenu,in ngumu kuwajua kwa sisi washabiki wenu.