Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
Kwema wakuu.? Naulizia nitapata wapii taa za mfumo huu na je unaweza fanya modification kwenye gari yeyote.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ova wanaenda kuwindaNdio wanatuumizaga macho barabarani hawa, wana kera! Mwanga hawapunguzi
Wapuuzi tu! Hatakama kuwinda mnyama gani anaona mwanga na bado amekaa anasubiri!!!?Ova wanaenda kuwinda
Na wewe si uwashe full beam tuonane vizuriNdio wanatuumizaga macho barabarani hawa, wana kera! Mwanga hawapunguzi
Mtakua kama mnapigana X-rays vile! Mm dawa yao ninayo, nimesha mchochoreshaga mmoja, na mwingine alinusurika akavunavuna majani akafanikiwa kurudi barabarani huku hana hamu! Unanipiga full nitaonaje mbele zaidi ya kukufuata uso kwa uso[emoji1782]Na wewe si uwashe full beam tuonane vizuri
Hatari hiyo angalia siku utapasuka wewe[emoji28][emoji28]Mtakua kama mnapigana X-rays vile! Mm dawa yao ninayo, nimesha mchochoreshaga mmoja, na mwingine alinusurika akavunavuna majani akafanikiwa kurudi barabarani huku hana hamu! Unanipiga full nitaonaje mbele zaidi ya kukufuata uso kwa uso[emoji1782]
Bahati mbaya ni kwamba anae tembelea full hua hana habari na anae muumiza macho " it fu[emoji2959]s both side "Hatari hiyo angalia siku utapasuka wewe[emoji28][emoji28]
Yeah mostly kama una taa hafifu ukiwa unapishana na mtu kawasha full lights halafu hajali inaumiza sana machoBahati mbaya ni kwamba anae tembelea full hua hana habari na anae muumiza macho " it fu[emoji2959]s both side "
Dawa kuwa chochoresha tu una bana ile chack mpaka anatembelea kwenye magari! Pumbavu kabisa[emoji2959][emoji34]Kikawaida full lights ni nzuri ukiwa hukutani na mtu,na kama hauoni mbele vzuri jitaidi kuwa mstaarabu unapokutana na mwenzako zima kwa mda kisha washa mkipishana
Kuna watu baadhi wanawasha full mwanzo mwisho,hata umpe ishara ya kuzima hana habari,hasa wa gari ndogo,unakuta kigari chenyewe kidogo kawasha mitaa hiyoooo..unamuonea huruma tu.
Unakuta mtu umechoka mara mitaa hiyo hata kuona vzuri unashindwa,unaweza kufumba hata machoDawa kuwa chochoresha tu una bana ile chack mpaka anatembelea kwenye magari! Pumbavu kabisa[emoji2959][emoji34]
Me nawapelekea tu, na c kwamba hawajui, ukisha mpelekea unakuta anapunguza taa sasa kama sio makusudi ninini!Unakuta mtu umechoka mara mitaa hiyo hata kuona vzuri unashindwa,unaweza kufumba hata macho
Kutumia hekima tu,unakuta mtu una tela mbili nyuma unazivuta ,ukitaka kumfanyia uhuni ni sekunde chache tu ,ila unatafakari unaona ni wale wananunua vigari vyao na bado wageni barabarani so unatake easy tu maisha yaendelee
Kwa malalamiko yaliyotolewa na wadau,tumekubalioana tusikuambie. Case closedKwema wakuu.? Naulizia nitapata wapii taa za mfumo huu na je unaweza fanya modification kwenye gari yeyote.?View attachment 2417395
Hawa na waendesha bodaboda, laanakhum..!Ndio wanatuumizaga macho barabarani hawa, wana kera! Mwanga hawapunguzi
Sio poa! Alafu ngumu kuwachochoresha hawa mbwa wanatembea kulia mbaaali na taa kali sana mpaka unajiuliza inakuaje pikipiki ina taa kali vile!Hawa na waendesha bodaboda, laanakhum..!
Hii ni noahPiga na gari
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kwa malalamiko yaliyotolewa na wadau,tumekubalioana tusikuambie. Case closed