wewe mwana JF unasemaje taa izimwe? isizimwe?
Isizimwe!
Mara nyingi wanaopenda giza ni kwa sababu ya kutojiamini tu! Kitendo cha kuzima taa kinafanya sense moja isishiriki katika 'maakuli' na pia kama ni mtu usiyemfahamu unaweza kujikuta unakula visivyolika au kwenye mazingira machafu.
taa isizimwe...thats it
SUBSTANTIATE please!Taa izimwe, mwulizeni Pearl
Hahahaha! Mshiki umeshakua kumbe! Safi sana!
jamani mbona kuna taa maalum kwa ajili ya chumba cha chakula ?
Gizani mmh hapana
teh teh, binafsi napenda dim light nyeupe au ya pink! Au kama vipi nawashaga mshumaa! Sipendi gizani! Hakuna sababu ya kujifunika!
Tena sio kuzima taa tu ila pamoja na kuzima taa bado mnajifunika shuka gubigubi, mwe?