jitu para we acha tu,miafrika ndivyo tulivyo,yaani kuweka hizo taa tu ilichukua zaidi ya mwaka mmoja,na naona pia humo kuna dili imechezwa.ukienda njia ya bombo hospitali usi seme,yaani kiza kwenda mbele,afadhali tu wasinge weka hizo taa,yaani ni show tu ambayo sis hatuitambui.