doctor mwanafunzi
Member
- Jun 16, 2024
- 45
- 56
Taa za boda zinazo badilikabadilika rangi zimekuwa kero na usumbufu kwa watembea kwa miguu na watumiaji wengine wa vyombo vya moto.
Likini pia taa hizo ni hatari sana kwa watu wenye tatizo la kupata degedege (wataalamu wa afya wanaelewa) kumekuwa na ongezeko kubwa la bodaboda zenye taa zinazobadilika badilika rangi niwachache sana wanaziwasha wakiwa wamepaki kwenye vituo lakini wengi wanaziwasha wakiwa wanaendesha boda nyakati za usiku.
Lakini pia boda zenye aina ya taa hizo zishughulikiwe mapema sana kiukweli zinakera.
Likini pia taa hizo ni hatari sana kwa watu wenye tatizo la kupata degedege (wataalamu wa afya wanaelewa) kumekuwa na ongezeko kubwa la bodaboda zenye taa zinazobadilika badilika rangi niwachache sana wanaziwasha wakiwa wamepaki kwenye vituo lakini wengi wanaziwasha wakiwa wanaendesha boda nyakati za usiku.
Ushauri: bodaboda wapewe semina mbalimbali za matumizi ya vyombo vyao na sheria za barabarani maana asilimia kubwa ya boda wanajifunzia mitaani hawana elimu ya vyombo vyao.Lakini pia boda zenye aina ya taa hizo zishughulikiwe mapema sana kiukweli zinakera.