Taa za disko zafungwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) Katavi

Taa za disko zafungwa Chumba cha Wagonjwa Mahututi (ICU) Katavi

Sir robby

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2022
Posts
2,396
Reaction score
4,080
Wadau Katika pita pita zangu nimekuta na hii habari, binafsi siamini kama kweli Watendaji wa Serikali ya Katavi wamelikalia KIMYA suala hili hebu tusubiri tuone kama kuna Uwajibikaji kwa Wahusika au Mpaka Waziri Mkuu atoke Japan aende Katavi.

1664304510908.jpg

====================

Taa za disko zafungwa ICU Katavi
Wakati Mwenge wa uhuru ukimaliza kukagua na kutembelea miradi mbalimbali ndani ya Mkoa wa Katavi, umebaini dosari katika jengo la wagonjwa mahutututi katika hospitali ya wilaya ya Tanganyika, ambapo moja ya chumba kimebainika kufungwa taa za mwanga kama wa disko (dicso light).

Kiongozi wa mbio za Mwenge Kitaifa Sahili Geraruma, ameshangwazwa na wataalamu waliosimamia ujenzi wa majengo hayo kwa kutokuwa ya kisasa.

Akiendelea kubainisha dosari kiongozi huyo hajapendezwa pia na namna ambavyo mabomba yalivyotapakaa ukutani na kusema ujenzi huo sio wa kisasa.
 
Wamechukulia dhana ya taa za ambulance, kwamba kama mgonjwa wa dharura anabebwa kwenye gari linalowasha vimulimuli(taa za rangi) basi sio mbaya nao wakazifunga ICU.. Walichoshindwa kutofautisha na badala yake wakafaninisha ni ICU na AMBULANCE
giphy.gif
giphy.gif
Will Smith anafanya nini sasa hivi?

Smith amedumisha maisha ya chini kwa chini tangu alipoomba msamaha kwa tabia yake ya kutojali katika Tuzo za Oscar za 2022 na akaruka kwenda India kutafuta msaada wa kiroho. Alipigwa picha kwenye Uwanja wa Ndege wa Kalina, Mumbai, India mnamo Aprili 23, 2022. Chanzo cha karibu kilifichua kuwa anaangazia kutafakari, yoga na mambo ya kiroho.
 
Back
Top Bottom