A
Anonymous
Guest
Mataa ya barabara ya Iringa - Morogoro ni mabovu, huwa muda mwingi yamezima na ni hatari. Vyombo vya usafiri vinapita kwa kuviziana. Magari, pikipiki na bajaj ajali nyingi zinatokea.
Mamlaka husika watatue hii changamoto .
Mamlaka husika watatue hii changamoto .