Taa za kuongozea za magomeni mbovu - kutokea ubungo kwenda buguruni

Taa za kuongozea za magomeni mbovu - kutokea ubungo kwenda buguruni

amanindoyella

Senior Member
Joined
Oct 13, 2009
Posts
104
Reaction score
9
Kumekuwa na tatizo kubwa la wahusika kutokufanyia kazi mara moja taa za kuongozea magari barabarani zinapoharibika! Nafikiri ni zaidi ya miezi miwili traffic light za magomeni hasa ukiwa unatokea ubungo kwenda buguruni hazifanyi kazi! Madereva wageni wamekuwa wakipata shida kubwa kutokana na kutowaka kwa taa hizo! Tafadhali wahusika fanyieni kazi adha hiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom