ProBook
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 559
- 264
Wakuu poleni na shughuli..
Naomba kuukiza swali kuhusu hizi taa za magari wanaziita projector system with Angel eyes.. Kwa ambao wameziweka kwa magari yao haoa Tanzania.. Je zina mwanga mkali usiku wa kutosha.. Na Je Durability yake ikoje.. Zinakaa muda gani.. Kwa maeneo ya Arusha, mbeya na DSM ni wapi ndo wafungaji wa hizo taa wazuri.. Naatach pich mzione..
Naomba kuukiza swali kuhusu hizi taa za magari wanaziita projector system with Angel eyes.. Kwa ambao wameziweka kwa magari yao haoa Tanzania.. Je zina mwanga mkali usiku wa kutosha.. Na Je Durability yake ikoje.. Zinakaa muda gani.. Kwa maeneo ya Arusha, mbeya na DSM ni wapi ndo wafungaji wa hizo taa wazuri.. Naatach pich mzione..