carnage21
JF-Expert Member
- Jan 24, 2023
- 591
- 1,382
Hapo jana taa za Sanamu Maarufu la “Kristu Mkombozi”(christ the redeemer) lililopo Rio de Janeiro huko Brazil zilizimwa kwa Muda wa Saa Moja hapo Jana ili kuonesha Mshikamano wa Watu wa Brazil na Mchezaji Vinicius Jr aliyefanyiwa Vitendo vya Ubaguzi huko Spain.
Pia wachezaji mbalimbali kama kylian mbappe,neymar n.k pamoja na makocha kama don carlo wa real madrid na xavi wa barcelona wameonyesha mshikamano wa pamoja kupinga vitendo vya kibaguzi nchini hispania.
Pia wachezaji mbalimbali kama kylian mbappe,neymar n.k pamoja na makocha kama don carlo wa real madrid na xavi wa barcelona wameonyesha mshikamano wa pamoja kupinga vitendo vya kibaguzi nchini hispania.