Anawakera watu wengi ndo maana wanamrudishia KERO piaPamoja na ubaguzi huyu dogo apunguze kushangilia kama mwendawazimu
Ni mchezaji mzuri ila apunguze shoboAnapenda sana kucheza na jukwaa na haya ndo Madhara ya kucheza na jukwaa wakikurushia maneno kidogo tu lazima uhamaki
Alishawai kulalamika lini tena? Kama sio mala yake ya kwanza ?? Wabaguzi wa rangi utawajua tu football ni starehe sio vita na ubaguziPia dogo ana tatizo la kulalamika sana
Si bora aende flamengo ya kwao brazil kuliko kwenda man uTuache wivu huyu Dogo hana ubaya wowote sembuse angekuwa na mbwembwe uwanjani kama Ronaldihno si wengi mngepasuka vichwa acheni wivu dogo hana shida, Ila apate akili ahamie Manchester City au kwa mbali aende Man United
Kuna kipi ambacho hajapata pale Madrid aje akipate Man U mkuu?Huu ndio mda wa kuja Man U kuja kucheza atimize ndoto zake