shebbyumeme mwembemagari
Member
- Apr 23, 2019
- 23
- 31
✓Watumiaji wengi wamejikuta wakiingia kwenye matatizo makubwa kwenye gari zao kwa kusababisha wao wenyewe bila kujua...!!!
✓Kivipi? Gari nyingi za kisasa Huwa zinatoa taarifa ya changamoto ya chombo kabla halijawa kubwa.. Sasa kitendo cha kuipuuzia pasipo kuchukua hatua kwa wakati ndio inapelekea gari kupata changamoto zaidi.
Tafadhali usipuuzie taa yoyote ya tahadhali inayowaka kwenye dashboard ya gari yako.... Wasiliana nami kupata maoni ushauri au nini cha kufanya ili kutatua changamoto kwenye gari yako
Simu: 0659-717838
View attachment 2853604
✓Kivipi? Gari nyingi za kisasa Huwa zinatoa taarifa ya changamoto ya chombo kabla halijawa kubwa.. Sasa kitendo cha kuipuuzia pasipo kuchukua hatua kwa wakati ndio inapelekea gari kupata changamoto zaidi.
Tafadhali usipuuzie taa yoyote ya tahadhali inayowaka kwenye dashboard ya gari yako.... Wasiliana nami kupata maoni ushauri au nini cha kufanya ili kutatua changamoto kwenye gari yako
Simu: 0659-717838