Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,036
- 3,107
Hizo course hapo nilizozitaja kama wenye mamlaka wangezizingatia hao watu nje na elimu wanaweza kufanya kazi nyingi sana kama za utendaji,afisa maendeleo, mipango nk lakini Cha ajabu hizo courses ati hata utumishi juzi wamezikataa kwenye ajira za ualimu Sasa wakaombe ajira gani hao watu?hii ya mwisho angalau, ina kitengo ndani ya idara ya elimu.
Hizo za juu zinaongoza kwa kusomewa masters watu wanatafuta madaraka tu.
Tunapoteza wataalamu wengi ,hivi Bachelor of arts in human resource management, Hana anachomzidi aliyesomea Bachelor of arts in industrial and organizational psychology. Sasa kama wameziondoa ina hawajui umuhimu wao zaidi ya kufundisha masomo darasani.Hizo course hapo nilizozitaja kama wenye mamlaka wangezizingatia hao watu nje na elimu wanaweza kufanya kazi nyingi sana kama za utendaji,afisa maendeleo, mipango nk lakini Cha ajabu hizo courses ati hata utumishi juzi wamezikataa kwenye ajira za ualimu Sasa wakaombe ajira gani hao watu?
Tuombe viongozi wetu wapitishwe msasa ,kuhusu kozi hizo.Hizo course hapo nilizozitaja kama wenye mamlaka wangezizingatia hao watu nje na elimu wanaweza kufanya kazi nyingi sana kama za utendaji,afisa maendeleo, mipango nk lakini Cha ajabu hizo courses ati hata utumishi juzi wamezikataa kwenye ajira za ualimu Sasa wakaombe ajira gani hao watu?
Kama nchi hatuna utilization sector ya hizo cozi, bado tunasomesha watu ilimradi wapate degree na si waendane nq soko lasasa ambalo linabadilika kwa kasiTaaluma kadhaa nchi hii hazina vitengo, na hazijulikani wapi zitumike na tofauti zake hasa katika halmashauri zetu, kumbuka huu ni utafiti wangu binafsi:
1. Bachelor of arts in economics
2. Bachelor of economics
3. Bachelor of science in agro-economy
4. Bachelor of science in agro-business
5. Bachelor of education in psychology
6. Bachelor in applied psychology
7. Bachelor of education in guidance and counseling
8. Bachelor of education in arts
9. Bachelor of education in philosophy
10. Bachelor of arts in public administration
11. Bachelor of arts in political science
12. Bachelor of arts in environment and disaster management
13. Degree zote za natural sciences
etc
Ukifika kazini Unatazamwa tu, wakuu hawajui coverage ya maarifa yako. Hivyo ulichosoma ni kama ulipoteza muda.
Ushauri:
Viundwe vitengo au idara za kusimamia fani hizo
Mfano 😛sychology na philosophy ,
Uchumi, Utafiti ,nk. Vinginevyo watu wanastaafu bila kutumikia maarifa yako.
Ongeza degree programs ambazo hazitambuliki kwenye mfumo wa Ajira na maendeleo yake.
Naanza kuaminiMbona nilishawambia nje ya degree ya udoctor na uwalimu ni utapeli Kwani bado hamuelewi
kwa uniqueness ipi?Bachelor of arts in economics si kuna wachumi kwenye mabenki mbalimbali