Taaluma zinazoongoza kwa kuaminika zaidi Tanzania

Taaluma zinazoongoza kwa kuaminika zaidi Tanzania

Mjomba Fujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2012
Posts
2,438
Reaction score
6,313
Untitled-1.jpg


Kuna ukweli kiasi gani?
Nani kaonewa hapo?
Weka maoni yako?
 
View attachment 2827338

Kuna ukweli kiasi gani?
Nani kaonewa hapo?
Weka maoni yako?
Wahandishi = waandishi. Ni ngumu kuamini haya matokeo ya huu utafiti uliofanywa na mtafiti mjinga mjinga ambaye anachanganya lugha ya kiingereza na kiswahili kwenye andiko la kisomi. Itoshe kusema WATANZANIA HATUUAMINI HUU UTAFITI WA KIJINGA.
 
Wahandishi = waandishi. Ni ngumu kuamini haya matokeo ya huu utafiti uliofanywa na mtafiti mjinga mjinga ambaye anachanganya lugha ya kiingereza na kiswahili kwenye andiko la kisomi. Itoshe kusema WATANZANIA HATUUAMINI HUU UTAFITI WA KIJINGA.
Punguza hasira mkuu

Kwani wewe ni mwanasiasa? 😂
 
Back
Top Bottom