Taaratibu za kupandishwa daraja baada ya kuhitimu masomo

Taaratibu za kupandishwa daraja baada ya kuhitimu masomo

bruno twemanye

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2015
Posts
801
Reaction score
387
Naomba kusaidiwa mdogo wangu aliajiliwa serikalin mwaka 2012 june akiwa na cheti,anategemea kuhitimu ngaz ya dproma mwez wa tano,,hajapanda daraja mpaka leo,taarifa zlizopo watapandishwa mwez wa saba,je? akipeleka chet chake cha dploma ngaz yake ya mshahala kubadlika itafuata utaratibu upi??
 
Back
Top Bottom