Nasikitika kusema watu wa aina yako ndio wanafanya sisi mwanaccm tuonekane chama cha wajinga.
Hivi mmetokea wapi? Mbona wakati wa JK na Kinana hamkuwepo na upuuzi wenu huu?
Na ajabu ni kuwa hamna hata mshipa wa aibu hata kidogo.
Sent using
Jamii Forums mobile app