kuna vitu 4 NO LOAN,NIL,NOT ACQUARE$NOT SECURE haya kuna baadhi yetu wameandikiwa ila mwaka 2 wanasema hawajatoa but kiukwel watu tuliongea nao ni watu wa reception wakjdai kuwa ni wakurugenz ndio maana hawakutoa majib ya maana kila anayekuja ana lake ila MKURUGENZI alikuja baadae xana na hakuongea na Raia but mimi nililazimisha kuingia ndani il kutoa kero zetu na tulikuwa wawil tu kasema twende mapema kesho il tupew majibu ila usipojua utazan Joyce Mgaya ni MKURUGENZI kumbe zengw maana hawajui wanachokisema maana wamesema wao COURSE zenye priority NI Education {science&arts),,petroleum&mining ni lazima upate mkopo pia Agriculture is a third priority according to them after Doctor,Education xo nikamtupia swali mbona sasa Education watu wamekosa et ee appeal Swali katupiwa tena Registration atafanya vp hana pesa ooh! jpge pge mwanzo huku HESLB iktafakari jinsi ya kukusaidia Swali tena Huoni mtu anaweza kufanya hivyo kaenda CHUO alaf kakosa tena MKOPO aka-drop CHUONI pesa yake ikawa imepotea