witacha matiku
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 722
- 237
Nilizani kuwa tayari mmepata taarifa kuhusu open conferance kumbe bado,, Lakini mda wote Viongozi wetu huwa wanatafuta mbinu how to defend themselves but n't how to solve the problem hii imekuwa ni kawaida kwao jana Open conferance MULUGO KAMA NAIBU WAZIRI ALITOA MAJIBU KUWA BUDGET HAITOSHI NA WALIOKOSA WANAWEZA KU-POSTPONE HADI HAPO MWAKANI AU ANAYEWEZA AJISOMESHE ila watatoa utaratibu wa appealin' but kwa wale tu ambao form zao n't incomplete,,,,:jamani imefikia hatua ya kusema utatuzi wa matatizo yatabaki kwako mwenyewe sio serikali tena kama hii isiyo nahuruma watu wamezungushwa zungushwa hatimaye wametafuta defensive mechanism {mulugo} amekuja akamwaga yake ya moyoni kamaliza, kukimbia kote hadi kwa waziri mkuu na Rais ila majib yamekuwa ya kawaidaaaaa!na shauri HATA HAPO MWAKANI JIPANGE TU UKASOME SIO UKATEGEMEA KUWA KUNA HESLB MAANA UNAWEZA TENA UKAKOSA "MAISHA NI VITA"you should fight