oldd vampire
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 253
- 52
<br />hongeren sana heslb, naomba wana JF 2wapgie makof, hakika wamefanya kaz nzur ya kumwonyesha kila aliyekosa mkopo sabab za kukosa kwake, hii itasaidia sana watu kupata hak zao kwa ushahid, hasa lile kundi la PREVIOUS LOANEES, hapa inaonekana kuna wa2 walisha befit mkopo kuptia majina ya wa2 wengne, NAIOMBA HESLB IWABAINI WA2 HAO NA HATUA KALI ZICHUKULIWE JUU YAO. Na kama ni m2 amebainika kuomba mkop mar ya 2 pia akamatwe maana huo ni UHUJUMU .
<br />je wale waliokosa coz of uhaba wa fedha wapo ktk nafas ipi?au ndo wametupwa moja kwa moja