Taarifa juu ya tiba ya Babu


'Nimeipenda' post yako coz ina-clear doubts!!!!!!!!!
 
conclusion imetulia mpendwa!

yaani wameona kwa miaka mingi waganga wamekuwa wakisema wanatibu kwa kutumia majini sasa wao wameamua kuwa wabunifu na kuja na kitu tofauti! lo.

Mungu atuhurumie watoto wake

Amina! wameona nguvu ya giza watu wanaenda kidogo na kwa kificho ndio maana wameamua kuwa wabunifu. Ubunifu ni moja ya njia za kuboresha biashara.
 
Nimekutana na huyu Mmasai naye anadai ni 'wakala' wa babu.
katumwa kuja Dar kugawa vikombe.
 
Haya wale ambao hawajapata kikombe cha mtanda-mboo changamkeni
 
Tunataka ripoti ya kisayansi kuwa wagonjwa waliokuwa na ngoma +ve baada ya kunywa wameonesha -ve, sio hizo hadisi za kisisasa!

Mbona hauulizi dawa za malaria tunazobadilishiwa kila kukicha kuwa zinaponyesha na huku zimetengenezwa kisayansi!
 
Acheni kubwabwaja na kujifanya wajuaji nendeni Samunge mkapate kikombe.
 

Uko sasa kabisa! Tumeshuhudia wengi wanatumia dawa hii wanapona na wengine hali zao ni zile zile kama ilivyo mahospitalini, kuna wanaopona na wanaoshindikana. Kwa ujumla, yote haya ni maamuzi ya Mungu. Sitegemei kabis mtu wa makamu ya huyu babu kuanza kutunga uongo katika makamu haya kwa nia ya kupata nini hasa? Jamani tuogope Mungu kumsema vibaya huyu mtu wa watu ambaye anajitolea mchana kutwa kusaidia watu.
 

asomae na afahamu,,,,ld wacha nirudi church nikafunuliwe,,,,
 
ha2katai wa2 kpona/kutopona. Ha2tak wanavyomuhucsha Mungu kwa nia ya kujpatia kpato cha haraka. Waseme wamegundua dawa na co Wameoteshwa na Mungu! Kla m2 akilala akiamka, ameoteshwa! Umenfurahsha et babu na uzee wte hawez kutapel! Tehe! Hv unacheza na pesa? Pesa haina cha kijana wla mzee ndg yng so hta babu baada ya kuhangaika ujana wte hajapta k2 ndo kabun ntoke vp yke! Ndo hvyo ss aksema kaongea na Mungu mtamiminka mpaka muuwane! Hakuna cha kuoteshwa wla nn, ye aseme vngne ntamkubalia.
 
Dah!!! hapo kwenye nyekundu kama nikweli amesema hivyo baaasi kwishneyyyyyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!
 
huu mti ni dawa kweli,ila tutambue kuwa babu wa loliondo amefanya Value Addition ili kutibu magonjwa mengi ya lifestyle diseases,via gods blessings
pia yeye babu amekiri kuwa tiba yake ni ya imani.
 
na aanze kwnda ku2bu mapema kbl Mungu wa kwel hajamshushia Gharika kuu! Kaul tata zote!

Na taratibu Mungu ameanza kumreveal, hana ujanja huyu siku zake zinahesabika. Wewe fanya uganga wako wa kienyeji achana na kudanganya watu kuwa ni Mungu, unaongeza hasira zake.

Hata watu ambao pengine wangepona kama wangekua makwao wameenda kufia maporini Loliondo. Loliondo kwa babu ni gateway ya kwenda kuzimu.
 

Mungu hamfichi mnafiki "babu" hana muda mrefu watu watajua ni mjasiariamali kama wajasiriamali wengine ambae ameweza kulitumia jina la Mungu kujineemesha kwa kutumia ndugu zetu wanaotaabika na magonjwa mbalimbali. Nasema haya kwakuwa "babu" anachanganya kwa jinsi navyozungumzia mazungumzo yake na "Mungu" yaani kama vile mazungumzo ya mtu na mshikaji wake eti


Hili eneo linakuwa finyu sasa kutokana na wingi wa watu wanaofika kupata tiba. Lazima tuhame na Mungu ameshanionyesha eneo ambalo huduma hii itahamia, ila nasubiri tangazo lake kujua ni lini nitahama

 
good report about the plant

tunachohitaji ni impact ya tiba kama hizi kwenye health system and social-economic impact as well
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…