Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 23
Endeleeni na uchochezi lakini ni budi mkumbuke hakuna amani mbaya wala vita nzuri.
Wanajamii,
Nimekutana na hii report ya one of the detailed research kuhusu hali ya maisha ya watanzania na utulivu tulionao. Kwa kweli hii report inazungumzia ukweli wa hali halisi ambao hata mimi naungana nao.
Just take your time and read it...!
A New Paradigm in Development Cooperation?