Taarifa Kutoka Kisumu: Rais Kenyatta na Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi Ziarani Kaunti Ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza

Taarifa Kutoka Kisumu: Rais Kenyatta na Rais Evariste Ndayishimiye wa Burundi Ziarani Kaunti Ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Mkewe Margret watawasili Kisumu Mei 31, 2021 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na Mkewe Angeline Ndayubaha watawasilii Kisumu Mei 31,2021 kwa ziara ya Kikazi ya siku mbili

Viongozi hao wataungana na Raila Odinga pamoja na Viongozi wengine kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayogharamiwa na Serikali kwenye Kaunti ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Mkewe Margret watawasili Kisumu Mei 39,2021 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na Mkewe Angeline Ndayubaha watawasilii Kisumu Mei 31,2021 kwa ziara ya Kikazi ya siku mbili

Viongozi hao wataungana na Raila Odinga pamoja na Viongozi wengine kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayogharamiwa na Serikali kwenye Kaunti ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza
Vipi kuhusu Makamu wa Rais William Samoei Rutto na Mke wake Lenna hawakualikwa au ndio mambo ya BBI!!
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Mkewe Margret watawasili Kisumu Mei 39,2021 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na Mkewe Angeline Ndayubaha watawasilii Kisumu Mei 31,2021 kwa ziara ya Kikazi ya siku mbili

Viongozi hao wataungana na Raila Odinga pamoja na Viongozi wengine kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayogharamiwa na Serikali kwenye Kaunti ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza
Mkuu May 39 ?
 
Hapo rais ni mmoja huyo mwingine ni kama katibu tarafa
 
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na Mkewe Margret watawasili Kisumu Mei 39,2021 kwa ziara ya kikazi ya siku tatu

Rais wa Burundi Evariste Ndayishimiye na Mkewe Angeline Ndayubaha watawasilii Kisumu Mei 31,2021 kwa ziara ya Kikazi ya siku mbili

Viongozi hao wataungana na Raila Odinga pamoja na Viongozi wengine kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo inayogharamiwa na Serikali kwenye Kaunti ya Kisumu & Mkoa wa Nyanza
Rais Ndayishimie ni kipenzi chake tundulissu so to speak, a awadharau sana Burundi kila akipata nafasi kwenye campaign yake alikuwa akiwakandia kama nyanyapa akiwafananisha na "Magufuli wenu". Sasa mwenziye anakata mitaa Nairobi yeye yuko mafichoni like a cor ered rabbit, ema kweli dunia na tambara bovu. Hivi, kuuliza si ujinga: huyo mbunge wetu wa zamani wa Kigoma siyo Mrundi kweli?
 
ucjal utajingua tu mimba yake mana ni kawaida mjamzito kumlaan aliyempachika kitumbo
Rais Ndayishimie ni kipenzi chake tundulissu so to speak, a awadharau sana Burundi kila akipata nafasi kwenye campaign yake alikuwa akiwakandia kama nyanyapa akiwafananisha na "Magufuli wenu". Sasa mwenziye anakata mitaa Nairobi yeye yuko mafichoni like a cor ered rabbit, ema kweli dunia na tambara bovu. Hivi, kuuliza si ujinga: huyo mbunge wetu wa zamani wa Kigoma siyo Mrundi kweli?
 
Rais Ndayishimie ni kipenzi chake tundulissu so to speak, a awadharau sana Burundi kila akipata nafasi kwenye campaign yake alikuwa akiwakandia kama nyanyapa akiwafananisha na "Magufuli wenu". Sasa mwenziye anakata mitaa Nairobi yeye yuko mafichoni like a cor ered rabbit, ema kweli dunia na tambara bovu. Hivi, kuuliza si ujinga: huyo mbunge wetu wa zamani wa Kigoma siyo Mrundi kweli?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tundu ni mjinga sana
 
Kuna wakati flani Kenya ilikua imepropose mizigo ya kutoka Kenya kwenda Rwanda,Burundi, DRC ipitie Kisumu kwenye ziwa hadi bandari itakayokuwepo Kagera alafu kutoka hapo itakua ni mahali padogo pamebaki mizigo uvuke Tz na kuingia hizo nchi. I hope huyo Evariste atapewa hilo wazo alitie akilini.
 
Kuna wakati flani Kenya ilikua imepropose mizigo ya kutoka Kenya kwenda Rwanda,Burundi, DRC ipitie Kisumu kwenye ziwa hadi bandari itakayokuwepo Kagera alafu kutoka hapo itakua ni mahali padogo pamebaki mizigo uvuke Tz na kuingia hizo nchi. I hope huyo Evariste atapewa hilo wazo alitie akilini.
Shida yote hiyo ya nini kwa nchi masikini kama Burundi na Rwanda wakati njia rahisi na nafuu ipo central corridor na watasave alot of money.....
 
Shida yote hiyo ya nini kwa nchi masikini kama Burundi na Rwanda wakati njia rahisi na nafuu ipo central corridor na watasave alot of money.....

Jiulize kwanini wanajipa shida yote hiyo, mtu anaacha duka lako ambalo ni jirani kwake ila anafuata duka la mbali kununua vitu vya kawaida sana kama kiberiti na chumvi, wewe utakua na matatizo ambayo hautaki kuyafanyia kazi.

Tanzania ina kila fursa lakini siku zote wimbo ni ule ule.....
 
Vipi kuhusu Makamu wa Rais William Samoei Rutto na Mke wake Lenna hawakualikwa au ndio mambo ya BBI!!
Jamani waswahili wacheni maneno
Ruto amepangiwa kazi nyingine
Serikali ina jazi nyingi za kufanya
 
Shida yote hiyo ya nini kwa nchi masikini kama Burundi na Rwanda wakati njia rahisi na nafuu ipo central corridor na watasave alot of money.....
Tz mnajenga SGR ndefu sana ambayo inagarimu mabilioni na lengo kuu ni kuifikisha kwa hizo nchi maskini ulizotaja, so labda uanze wewe kutuelezea kwanini mnatumia pesa nyingi zaidi kupeleka reli mpya kwa nchi maskini.
 
Back
Top Bottom