Taarifa kutoka White House: Rais Joe Biden na Familia waelekea Camp David kwa Mapumziko

Taarifa kutoka White House: Rais Joe Biden na Familia waelekea Camp David kwa Mapumziko

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Rais wa nchi ya Marekani Joe Biden akiwa na familia yake Mei 22, 2021 wameondoka kutoka Ikulu ya White House kuelekea Camp David Jimboni Maryland kwa mapumziko.

Mapema kabla Rais Biden alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Korea Kusini Ndg Moona.

Biden alisafiri kwa kutumia chopper maalumu Marine One kuelekea Camp David ambayo ni makazi mahsusi kwa mapumziko ya Rais wa Marekani.

Tunamtakia mapumziko mema Rais Biden.
 
Maisha yako kasi sana, Mapumziko siku hizi ni zanzibar, zile ziara za mawaziri kila siku chato wala siku hizi hakuna waziri anaeenda tena, ule utalii wa miti chato, shamba limeanza kua na nyoka wakubwa wa hatari, ile airport ya chato hakuna ndege za kutua mara kwa mara mosusu mosusu na chato
 
Chato imebaki kama kibondo tu, biashara pale hakuna, katoro, Buseresere itaendelea kua kubwa kibiashara, waliotaka chato iishinde hadi geita kazi ipo
 
... kuna umuhimu wa kuwa na kitu kama hiki kwa Tanzania pia; pajengwe eneo maalumu la mapumziko ya Rais preferably eneo aliloacha Mkapa kule Lushoto litaifishwe na kuboreshwa kwa ajili hiyo.
 
... kuna umuhimu wa kuwa na kitu kama hiki kwa Tanzania pia; pajengwe eneo maalumu la mapumziko ya Rais preferably eneo aliloacha Mkapa kule Lushoto litaifishwe na kuboreshwa kwa ajili hiyo.
Kwa nini hiyo Camp David ya Bongo isiwe Chato ili tuilinde Legacy ya Jemedari wetu JPM? Naomba Mataga wote mniunge mkono tafadhali kuilinda Legacy ya Hayati! 😇 Legacy!!!! mama D
 
Rais wa nchi ya Marekani Joe Biden akiwa na familia yake Mei 22, 2021 wameondoka kutoka Ikulu ya White House kuelekea Camp David Jimboni Maryland kwa mapumziko

Mapema kabla Rais Biden alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Korea Kusini Ndg Moona

Biden alisafiri kwa kutumia chopper maalumu Marine One kuelekea Camp David ambayo ni makazi mahsusi kwa mapumziko ya Rais wa Marekani

Tunamtakia mapumziko mema Rais Biden
Uzalendo wa kitanzania au uzalendo wa kimarekani
 
Camp David ya Tanzania iwe Shuttle rasmi iwekwe kwenye katiba...
 
Back
Top Bottom