Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,267
- 29,917
SIMBA SPORTS CLUB
DAR ES SALAAM
6/1/2018
TAARIFA KWA UMMA
Klabu ya Simba inapenda kukanusha matokeo ya mchezo kati yake na Azam FC kama ambavyo yameonyeshwa kwwnye kituo cha Luninga cha Azam Sports 2.
Katika mechi hiyo kituo hicho cha TV kimeonyesha Simba imefungwa bao 1-0
Kiukweli uonyeshaji wa mechi hiyo umejikita kwenye kuharibu taswira ya klabu,na una nia ovu kwa timu yetu ambayo inaendelea kufabya vzr kwenye mashindano ya kombe la Mapinduzi.
Mara kwa mara TV hii imekuwa ikirusha na kutangaza matokeo ya namna hiyo kwa klabu,hali inayopelekea uongozi wa Simba kulaumiwa na Wanachama na mashabiki
Kwa matokeo yaliyoonyeshwa leo ambayo imezua taharuki kubwa hususan mitandaoni,klabu imeonelea iliweke sawa kwa kuwaambia Wanachama na washabiki wake kuwa, haijafungwa na Azam na kilichooneshwa na Azam Sports 2 ni uzushi usiovumilika.
IMETOLEWA NA....
HAJI S MANARA
MKUU WA HABARI
SIMBA SPORTS CLUB
SIMBA NGUVU MOJA
DAR ES SALAAM
6/1/2018
TAARIFA KWA UMMA
Klabu ya Simba inapenda kukanusha matokeo ya mchezo kati yake na Azam FC kama ambavyo yameonyeshwa kwwnye kituo cha Luninga cha Azam Sports 2.
Katika mechi hiyo kituo hicho cha TV kimeonyesha Simba imefungwa bao 1-0
Kiukweli uonyeshaji wa mechi hiyo umejikita kwenye kuharibu taswira ya klabu,na una nia ovu kwa timu yetu ambayo inaendelea kufabya vzr kwenye mashindano ya kombe la Mapinduzi.
Mara kwa mara TV hii imekuwa ikirusha na kutangaza matokeo ya namna hiyo kwa klabu,hali inayopelekea uongozi wa Simba kulaumiwa na Wanachama na mashabiki
Kwa matokeo yaliyoonyeshwa leo ambayo imezua taharuki kubwa hususan mitandaoni,klabu imeonelea iliweke sawa kwa kuwaambia Wanachama na washabiki wake kuwa, haijafungwa na Azam na kilichooneshwa na Azam Sports 2 ni uzushi usiovumilika.
IMETOLEWA NA....
HAJI S MANARA
MKUU WA HABARI
SIMBA SPORTS CLUB
SIMBA NGUVU MOJA