Taarifa kwa Umma: Usajili wa wasichana na wavulana waliokatiza masomo ya elimu ya sekondari

Taarifa kwa Umma: Usajili wa wasichana na wavulana waliokatiza masomo ya elimu ya sekondari

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
USAJILI WA WASICHANA NA WAVULANA WALIOKATIZA MASOMO YA ELIMU YA SEKONDARI

Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima kupitia mradi wa SEQUIP-AEP unaotekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Benki ya Dunia imeanza usajili wa wasichana na wavulana waliokatiza masomo ya Elimu ya Sekondari wenye umri kuanzia miaka 13 hadi 21.

Wanafunzi hao wataendelea na masomo yao bure katika vituo vya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima vilivyopo mikoa yote 26 Tanzania Bara. Masomo yataanza tarehe 06/01/2025.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mratibu (0766 968 470), pia tembelea kituo cha TEWW katika mkoa husika au www.iae.ac.tz

taasisi_ya_elimu_ya_watu_wazima

www.iae.ac.tz

Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima; Kiwanja nambari 7, Mtaa wa Bibi Titi Mohamed; P.O.Box 20679, Dar es Salaam/Tanzania; Simu ya rununu: +255 750 292 847; Barua pepe: info@tiae.ac.tz

TEWW 1.jpg
 
Fursa hiii hapa kwa wale wote ambao hawakuweza kumaliza shule kwa sababu zozote zile
Shida itakuja labda pesa za matumizi na kujikimu
 
TAARIFA KWA UMΜΑ

USAJILI WA WASICHANA NA WAVULANA WALIOKATIZA MASOMO YA ELIMU YA SEKONDARI

Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima kupitia mradi wa SEQUIP-AEP unaotekelezwa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kwa kushirikiana na Benki ya Dunia imeanza usajili wa wasichana na wavulana waliokatiza masomo ya Elimu ya Sekondari wenye umri kuanzia miaka 13 hadi 21.

Wanafunzi hao wataendelea na masomo yao bure katika vituo vya Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima vilivyopo mikoa yote 26 Tanzania Bara. Masomo yataanza tarehe 06/01/2025.

Kwa taarifa zaidi wasiliana na Mratibu (0766 968 470), pia tembelea kituo cha TEWW katika mkoa husika au www.iae.ac.tz
View attachment 3174253
taasisi_ya_elimu_ya_watu_wazima

www.iae.ac.tz

Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima; Kiwanja nambari 7, Mtaa wa Bibi Titi Mohamed; P.O.Box 20679, Dar es Salaam/Tanzania; Simu ya rununu: +255 750 292 847; Barua pepe: info@tiae.ac.tz
Hongera kwa kutuletea fursa
 
Fursa hiii hapa kwa wale wote ambao hawakuweza kumaliza shule kwa sababu zozote zile
Shida itakuja labda pesa za matumizi na kujikimu
Na umri pia mwisho 21, wengine wamevuka 21
 
Back
Top Bottom