Taarifa:kwa wana UDSM.

Taarifa:kwa wana UDSM.

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,058
Reaction score
2,195
Kama ID yako ni ya semister moja,hutaruhusiwa kusign boom mpaka ulipe portion ya ada yako unayodaiwa na utengenezewe ID ya semister ya pili.mtaarifu na mwenzio uonapo ujumbe huu..source ni me mwenyewe niko eneo la tukio.
 
We utakuwa CR Wewe

hamna,me msamaria mwema tu mkuu,si unajua tena chuo chetu watu wengi wa pale ni watoto wa wakulima,so sio mbaya tukipeana updates ili kila mtu ajipange mapema.
 
Kama ID yako ni ya semister moja,hutaruhusiwa kusign boom mpaka ulipe portion ya ada yako unayodaiwa na utengenezewe ID ya semister ya pili.mtaarifu na mwenzio uonapo ujumbe huu..source ni me mwenyewe niko eneo la tukio.

kwa masharti hayo mwisho wa kusign utakuwa lini? duh poleni wana state university
 
hapo inakuwaje kwa wale ambao tunategemea bumu ndo tulipe ada?

ndio tuko tunanegotiate na uongozi mkuu,maana hata uongozi unajua kuwa asilimia kubwa ya wana udsm tunategemea bumu kulipia ada na malazi,so mambo yakiwa mazuri,nitarejea hapa jukwaani kuwabrief tena.
 
ndio tuko tunanegotiate na uongozi mkuu,maana hata uongozi unajua kuwa asilimia kubwa ya wana udsm tunategemea bumu kulipia ada na malazi,so mambo yakiwa mazuri,nitarejea hapa jukwaani kuwabrief tena.

fanya kwel mkuu make maintellectual ndo mhimil wa taifa
 
perry, kuna dogo wa udsm anaulizia tarehe ya mwisho wa kusign
 
chuo hakina pesa,,,, pesa zotee zilitumika kwenye mazishi ya cauncelor... hivo lazma mulipe ada ndo musainii ili kujazia jazia pesa zilizotumika kwenye mazishi afu munapata pesa zetu....HIYO ANAITWA DANADANA
:target:
 
Mama weeeeeeeeeeeeeeeeeeeee,maskini miye nitaishije kwa hali hiyo! Ee Mola tukumbuke watoto wa mama ntilie.
 
perry, kuna dogo wa udsm anaulizia tarehe ya mwisho wa kusign

kusign bumu hakuna mwisho ila tu jinsi unavochelewa kusign ndo jinsi mzigo wako utakavochelewa kiongozi.
 
Kama ID yako ni ya semister moja,hutaruhusiwa kusign boom mpaka ulipe portion ya ada yako unayodaiwa na utengenezewe ID ya semister ya pili.mtaarifu na mwenzio uonapo ujumbe huu..source ni me mwenyewe niko eneo la tukio.

hapo hakuna ujanja
 
nauli kutoka mkoani nakop 40 kulala kwa mjomba wa shangaz shato poli kwenda chuo ada mkopo kwa walio chukua tutafika tu
 
Back
Top Bottom