SIMEON KATATANAMA
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 479
- 277
Kwa wanafunzi wa chuo cha Uhasibu Arusha tembelea www.iaa.ac.tz kupata taarifa muhimu kutoka kwa uongozi wa chuo. Nawasilisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ungetoa taarifa kamili mkuu wengine tunapata update kwa visimu vyetu vya display ndogo
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
TANGAZO
Kutokana na Chuo kufungwa, Baraza la Uongozi wa Chuo
katika kikao chake cha dharura cha tarehe 03 Mei 2013
kimeagiza wanafunzi wote kuanzia ngazi ya Cheti mpaka
Stashahada ya Uzamili kuzingatia yafuatayo:
1. Kila Mwanafunzi anatakiwa kutuma maombi mapya ya
kujiunga na Chuo.
2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya
anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada
ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa
Mhasibu Mkuu wa Serikali.
3. Katika maombi hayo mwanafunzi anaagizwa kueleza
namna alivyoshiriki katika vurugu za tarehe 24 Aprili
2013.
4. Mwanafunzi awe amekamilisha malipo ya ada iliyobaki
wakati anatuma maombi yake.
5. Mwisho wa maombi ni tarehe 16 Mei 2013.
Maombi yapelekwe kwa anwani ifuatayo:
Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Uhasibu Arusha
S. L. P. 2798
Arusha.
08 Mei 2013
CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
TANGAZO
Kutokana na Chuo kufungwa, Baraza la Uongozi wa Chuo
katika kikao chake cha dharura cha tarehe 03 Mei 2013
kimeagiza wanafunzi wote kuanzia ngazi ya Cheti mpaka
Stashahada ya Uzamili kuzingatia yafuatayo:
1. Kila Mwanafunzi anatakiwa kutuma maombi mapya ya
kujiunga na Chuo.
2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya
anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada
ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa
Mhasibu Mkuu wa Serikali.
3. Katika maombi hayo mwanafunzi anaagizwa kueleza
namna alivyoshiriki katika vurugu za tarehe 24 Aprili
2013.
4. Mwanafunzi awe amekamilisha malipo ya ada iliyobaki
wakati anatuma maombi yake.
5. Mwisho wa maombi ni tarehe 16 Mei 2013.
Maombi yapelekwe kwa anwani ifuatayo:
Mkuu wa Chuo,
Chuo cha Uhasibu Arusha
S. L. P. 2798
Arusha.
08 Mei 2013
2. Barua ya maombi hayo ipitishwe kwa Mkuu wa Wilaya
anapoishi mwanafunzi. Kwa mwanafunzi wa Stashahada
ya Uzamili ya Uhasibu barua yake ya maombi ipitie kwa
Mhasibu Mkuu wa Serikali.
Management Team
Rector Prof. Johannes M.Monyo (PhD)
Deputy Rector-(DR-ARC) Dr. Faraji Kasidi (Ph.D.)
Deputy Rector-(DR-PFA) ...............................
Directror-Postgraduate Studies Mr. Bakari Ally
Director-Undergraduate Studies Ms Hellen Meshack
Academic Services-Registrar Mr. Nimrod Foya
Students' Services-Dean Mr. John Nanyaro
Human Resources & Administration Manager Mr. Chacha Wambura
Planning and Finance Manager Mr. Honory Mkelemi
ICT Manager Mr. John Pima
Internal Audit Manager Mr. Hamis Majala
Library Services Manager Mr. Rabbiel Mwasha
Governing Council Members
1. Ms. Mwanaidi Mtanda Chairperson
2. Mr. Cashmir Nyoni Vice Chairperson
3. Hon. Fatuma Mikidadi (MP) Member
4. Prof. Lughano J.M. Kusiluka Member
5. Dr. Suleiman R. Mohamed Member
6. Ms. Estherina Kilasi Member
7. Mr. Ally Hussein Laay Member
8. Mr. Peter Machunde Member
9. Ms. Deodatha Ramo Makani Member
10. Ms. Elipina Mlaki Member
11. Ms. Gertrude Mtiga Member