Serikal ya wanachuo [SUAsO] kupitia wizara ya mikopo inawataarifu kuwa kutokana na mfumo mpya wa udahili wa wanafunzi unaomtaka mwanafunzi adahiliwe kwanza ndipo asgn mkopo na kuwa mwanafunz kamili,kutokana na kikao na utawala inawaomba wanafunz wasign mkopo il waweze kufanya udahl,HIVYO Tunawataarfu zoez la kusign mkopo litafanyika j3 na j4 tar 21-22 tu il watu waweze kupata ela ya udahili.ambaye hatafanya udahl ndan ya siku 14 atakuwa amejifukuzisha chuo na hataweza kupata mkopo tena,IMETOLEWA LEO TAR. 19 october na (waziri wa mikopo GETRUDE SUASO)"updated-boy"/"0768260834"