PEPSI BIG
Member
- Sep 23, 2019
- 37
- 23
Imekua nikawaida kwa wanaume humu kujisifu atumia mtaro tena nakujisifu kabisa sidhani kama niungwana
Taarifa nyeti kama hizi unazianika hadharani yanini janaume zima na suruali yako ndefu kama buti za Charlie champrin
Ndio maana hua wanawake wanaamua kuwachunia kwa post zenu zisizokua na msingi nakuvitaja vitu visivyo na maadili nashukuru kutojuana kimwili wala Uso kwa Uso na manyau ya humu
Mungu awabariki wanaume wasiri namuendelee hivyo hivyo ila sio minyau nyau mingine isiyokua na haya wala hiana
Povu baki nalo mwenyewe mi yangu tayari hayo nimeyatoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Taarifa nyeti kama hizi unazianika hadharani yanini janaume zima na suruali yako ndefu kama buti za Charlie champrin
Ndio maana hua wanawake wanaamua kuwachunia kwa post zenu zisizokua na msingi nakuvitaja vitu visivyo na maadili nashukuru kutojuana kimwili wala Uso kwa Uso na manyau ya humu
Mungu awabariki wanaume wasiri namuendelee hivyo hivyo ila sio minyau nyau mingine isiyokua na haya wala hiana
Povu baki nalo mwenyewe mi yangu tayari hayo nimeyatoa
Sent using Jamii Forums mobile app