<br />Majina yatatoka mwanzon mwa september pamoja na asilimia za mkopo utakazo tunukiwa. Source EA RADIO.
<br /><br /><br />
<br /><br />
hivi kwa nini kwenye website yao hawasemi kitu?
<br />Tatizo TCU Siasa na sio taaluma imewaeka pale haiwezekani wakurupuke na kuanza kusema mwanzoni mwa mwezi wa saba, then mwanzoni mwa mwezi wa nane ila sasa mwezi wa tisa ila wamechagua wanafunzi wachache sana.
Tatizo TCU Siasa na sio taaluma imewaeka pale haiwezekani wakurupuke na kuanza kusema mwanzoni mwa mwezi wa saba, then mwanzoni mwa mwezi wa nane ila sasa mwezi wa tisa ila wamechagua wanafunzi wachache sana.
<br />
<br />
hivi kwa nini kwenye website yao hawasemi kitu?
<br /><br /><br />
<br /><br />
kwani kuna ambao wametangazwa kuwa wamechaguliwa au?
<br />Jamani hawa majamaa hat hawaelewek,maana kun rafiki yangu mmoja anakila sifa Za kupatiwa udahili bt under unknown reasons wamempiga na chini na kutakiwa aombe tena ktk second round.DAH!HAWA JAMAA WAS....NGE SN.
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani tz viongoz wake ni wahivi hivi. Web yao ipo vile vile wakat wameitisha press conference. Wanadhan wote wanasikiliza radio! Umasabur tupu!
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
je wewe unadhani wananchi wote hapa tz wanaLUNINGA za kutizama na kuckiliza habari? Hivyo hiyo ni m1wapo ya kazi za vyombo vya Habari, utasoma magazetini pia na kwingineko!
<br /><br /><br />
<br /><br />
yaani tz viongoz wake ni wahivi hivi. Web yao ipo vile vile wakat wameitisha press conference. Wanadhan wote wanasikiliza radio! Umasabur tupu!
<br /><br /><br />
<br /><br />
hivi kwa nini kwenye website yao hawasemi kitu?